Hesabu 1:52 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 52 “Na wana wa Israeli watapiga kambi kila mmoja kulingana na kambi yake, na kila mtu kulingana na mgawanyo+ wake wa makabila matatu kwa majeshi yao. Hesabu 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Wana wa Israeli watapiga kambi, kila mtu kulingana na mgawanyo wake wa makabila matatu,+ kando ya alama za nyumba ya baba zao. Watapiga kambi kuzunguka pande zote mbele ya hema la mkutano.
52 “Na wana wa Israeli watapiga kambi kila mmoja kulingana na kambi yake, na kila mtu kulingana na mgawanyo+ wake wa makabila matatu kwa majeshi yao.
2 “Wana wa Israeli watapiga kambi, kila mtu kulingana na mgawanyo wake wa makabila matatu,+ kando ya alama za nyumba ya baba zao. Watapiga kambi kuzunguka pande zote mbele ya hema la mkutano.