Hesabu 23:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kisha akaanza neno lake la kimethali+ na kusema:“Kutoka Aramu+ Balaki mfalme wa Moabu alijaribu kuniongoza,Kutoka katika milima ya mashariki:‘Njoo, mlaani Yakobo kwa ajili yangu.Naam, njoo, washutumu Israeli.’+ Hesabu 24:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Basi akaanza neno lake la kimethali+ na kusema: “Neno la Balaamu mwana wa Beori,Na neno la mwanamume jicho likiwa limefunguliwa,+
7 Kisha akaanza neno lake la kimethali+ na kusema:“Kutoka Aramu+ Balaki mfalme wa Moabu alijaribu kuniongoza,Kutoka katika milima ya mashariki:‘Njoo, mlaani Yakobo kwa ajili yangu.Naam, njoo, washutumu Israeli.’+
3 Basi akaanza neno lake la kimethali+ na kusema: “Neno la Balaamu mwana wa Beori,Na neno la mwanamume jicho likiwa limefunguliwa,+