5 Sasa akatuma wajumbe kwa Balaamu+ mwana wa Beori huko Pethori,+ kando ya Mto+ wa nchi ya wana wa watu wake, aitwe, na kusema: “Tazama! Watu wametoka Misri. Tazama! Wameijaza nchi kwa kadiri ambayo mtu anaweza kuona,+ nao wanakaa mbele yangu.
4 kwa sababu hawakuja kuwasaidia+ kwa mkate na maji njiani mlipokuwa mkitoka Misri,+ na kwa sababu walimkodi juu yako Balaamu yule mwana wa Beori kutoka Pethori ya Mesopotamia, ili akulaani.+