Mwanzo 30:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kisha Lea akasema: “Mungu amenipa mshahara wa mtu wa kukodiwa, kwa sababu nimempa mume wangu mjakazi wangu.” Kwa hiyo akamwita jina lake Isakari.+ Mwanzo 49:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Isakari+ ni punda mwenye mifupa migumu, aliyelala katikati ya matandiko yenye mifuko miwili.
18 Kisha Lea akasema: “Mungu amenipa mshahara wa mtu wa kukodiwa, kwa sababu nimempa mume wangu mjakazi wangu.” Kwa hiyo akamwita jina lake Isakari.+