Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 35:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Wana wa Lea walikuwa Rubeni,+ mzaliwa wa kwanza wa Yakobo, na Simeoni na Lawi na Yuda na Isakari na Zabuloni.

  • Mwanzo 46:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na wana wa Isakari+ walikuwa Tola+ na Puva+ na Iobu na Shimroni.+

  • Mwanzo 49:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Isakari+ ni punda mwenye mifupa migumu, aliyelala katikati ya matandiko yenye mifuko miwili.

  • Kumbukumbu la Torati 33:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Naye akamwambia Zabuloni:+

      “Shangilia, Ee Zabuloni, kwa sababu ya kutoka kwako nje,+

      Na, Isakari, kwa sababu ya mahema yako.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 12:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Na wa wana wa Isakari+ walio na ujuzi wa jinsi ya kutambua nyakati+ ili kujua yale ambayo Israeli wanapaswa kufanya,+ walikuwa 200 wa kwao, na ndugu zao wote walifuata maagizo yao.

  • Ufunuo 7:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 kutoka kabila la Simeoni+ kumi na mbili elfu;

      kutoka kabila la Lawi+ kumi na mbili elfu;

      kutoka kabila la Isakari+ kumi na mbili elfu;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki