Mwanzo 35:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Wana wa Lea walikuwa Rubeni,+ mzaliwa wa kwanza wa Yakobo, na Simeoni na Lawi na Yuda na Isakari na Zabuloni. Mwanzo 46:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na wana wa Isakari+ walikuwa Tola+ na Puva+ na Iobu na Shimroni.+ Mwanzo 49:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Isakari+ ni punda mwenye mifupa migumu, aliyelala katikati ya matandiko yenye mifuko miwili. Kumbukumbu la Torati 33:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Naye akamwambia Zabuloni:+“Shangilia, Ee Zabuloni, kwa sababu ya kutoka kwako nje,+Na, Isakari, kwa sababu ya mahema yako.+ 1 Mambo ya Nyakati 12:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Na wa wana wa Isakari+ walio na ujuzi wa jinsi ya kutambua nyakati+ ili kujua yale ambayo Israeli wanapaswa kufanya,+ walikuwa 200 wa kwao, na ndugu zao wote walifuata maagizo yao. Ufunuo 7:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 kutoka kabila la Simeoni+ kumi na mbili elfu;kutoka kabila la Lawi+ kumi na mbili elfu;kutoka kabila la Isakari+ kumi na mbili elfu;
23 Wana wa Lea walikuwa Rubeni,+ mzaliwa wa kwanza wa Yakobo, na Simeoni na Lawi na Yuda na Isakari na Zabuloni.
18 Naye akamwambia Zabuloni:+“Shangilia, Ee Zabuloni, kwa sababu ya kutoka kwako nje,+Na, Isakari, kwa sababu ya mahema yako.+
32 Na wa wana wa Isakari+ walio na ujuzi wa jinsi ya kutambua nyakati+ ili kujua yale ambayo Israeli wanapaswa kufanya,+ walikuwa 200 wa kwao, na ndugu zao wote walifuata maagizo yao.
7 kutoka kabila la Simeoni+ kumi na mbili elfu;kutoka kabila la Lawi+ kumi na mbili elfu;kutoka kabila la Isakari+ kumi na mbili elfu;