4 Basi Yehova akamwambia Musa: “Chukua wote walio vichwa vya watu nawe uwaanike mbele za Yehova kuelekea jua, ili hasira inayowaka ya Yehova+ igeukie mbali na Israeli.”
3 “Macho yenu wenyewe ndiyo yaliyoona mambo ambayo Yehova alifanya katika kile kisa cha Baali wa Peori,+ kwamba kila mtu aliyemfuata Baali wa Peori ndiye ambaye Yehova Mungu wako aliangamiza kutoka katikati yako.+