16 Kwa maana wao ni watu waliokabidhiwa, niliokabidhiwa mimi kati ya wana wa Israeli.+ Badala ya wale wote wanaofungua tumbo la uzazi, wazaliwa wote wa kwanza kati ya wana wa Israeli,+ nitawachukua kwa ajili yangu mwenyewe.
6 Na mimi, tazama! mimi nimewachukua ndugu zenu, Walawi, kutoka katikati ya wana wa Israeli,+ wawe zawadi kwenu,+ kama wale waliokabidhiwa kwa Yehova ili kuendeleza utumishi wa hema la mkutano.+