Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 6:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na wana wa Merari walikuwa Mali na Mushi.+

      Hizo ndizo zilizokuwa familia za Walawi, kulingana na ukoo wa familia yao.+

  • Hesabu 3:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Waandikishe wana wa Lawi kulingana na nyumba ya baba zao kulingana na familia zao. Kila mwanamume kuanzia umri wa mwezi mmoja na zaidi utamwandikisha.”+

  • Yoshua 18:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa maana Walawi hawana fungu lolote katikati yenu,+ kwa kuwa ukuhani wa Yehova ndio urithi wao;+ na Gadi na Rubeni+ na nusu ya kabila la Manase+ wamechukua urithi wao ng’ambo ya Yordani upande wa mashariki, ambao Musa mtumishi wa Yehova amewapa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki