Hesabu 33:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Halafu wakaondoka Almon-diblathaimu,+ wakapiga kambi katika milima ya Abarimu+ mbele ya Nebo.+ Kumbukumbu la Torati 32:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 “Panda juu ya mlima huu wa Abarimu,+ Mlima Nebo,+ ulio katika nchi ya Moabu, mbele ya Yeriko, nawe uione nchi ya Kanaani, ninayowapa wana wa Israeli waimiliki.+
49 “Panda juu ya mlima huu wa Abarimu,+ Mlima Nebo,+ ulio katika nchi ya Moabu, mbele ya Yeriko, nawe uione nchi ya Kanaani, ninayowapa wana wa Israeli waimiliki.+