Hesabu 27:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi Yehova akamwambia Musa: “Nenda juu katika mlima huu wa Abarimu,+ ukaone nchi ambayo hakika nitawapa wana wa Israeli.+ Kumbukumbu la Torati 32:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 “Panda juu ya mlima huu wa Abarimu,+ Mlima Nebo,+ ulio katika nchi ya Moabu, mbele ya Yeriko, nawe uione nchi ya Kanaani, ninayowapa wana wa Israeli waimiliki.+
12 Basi Yehova akamwambia Musa: “Nenda juu katika mlima huu wa Abarimu,+ ukaone nchi ambayo hakika nitawapa wana wa Israeli.+
49 “Panda juu ya mlima huu wa Abarimu,+ Mlima Nebo,+ ulio katika nchi ya Moabu, mbele ya Yeriko, nawe uione nchi ya Kanaani, ninayowapa wana wa Israeli waimiliki.+