Mambo ya Walawi 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Naye atayaosha matumbo+ na miguu+ kwa maji; naye kuhani atatoa vyote hivyo na kuvifukiza+ kwenye madhabahu. Ni toleo la kuteketezwa, toleo linalotolewa kwa njia ya moto lililo na harufu ya kumtuliza Yehova.+
13 Naye atayaosha matumbo+ na miguu+ kwa maji; naye kuhani atatoa vyote hivyo na kuvifukiza+ kwenye madhabahu. Ni toleo la kuteketezwa, toleo linalotolewa kwa njia ya moto lililo na harufu ya kumtuliza Yehova.+