-
Mambo ya Walawi 23:18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 Nanyi mtatoa pamoja na mikate hiyo wana-kondoo dume+ saba ambao hawana kasoro, kila mmoja mwenye umri wa mwaka mmoja, na ng’ombe-dume mmoja mchanga na kondoo-dume wawili. Watakuwa toleo la kuteketezwa kwa Yehova pamoja na toleo lao la nafaka na matoleo yao ya vinywaji yanayotolewa kwa njia ya moto, yenye harufu ya kumtuliza Yehova.
-