19 Nanyi mtamtoa mwana-mbuzi+ mmoja awe toleo la dhambi na wana-kondoo dume wawili, kila mmoja akiwa na umri wa mwaka mmoja, wawe dhabihu ya ushirika.+
15 Pia, mwana-mbuzi+ mmoja atatolewa akiwa toleo la dhambi kwa Yehova kwa kuongezea lile toleo la kuteketezwa la daima pamoja na toleo lake la kinywaji.+