Hesabu 28:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Nawe utawaambia, ‘Hili ndilo toleo linalotolewa kwa njia ya moto ambalo mtamtolea Yehova: wana-kondoo dume ambao hawana kasoro wenye umri wa mwaka mmoja, wawili kila siku wakiwa toleo la kuteketezwa daima.+ Hesabu 28:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 pamoja na sehemu ya kumi ya efa+ ya unga laini ukiwa toleo la nafaka+ lililotiwa sehemu ya nne ya hini ya mafuta yaliyopondwa;+ Hesabu 28:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Mbali na lile toleo la kuteketezwa la asubuhi, ambalo ni kwa ajili ya toleo la kuteketezwa+ la daima,+ mtayatoa hayo.
3 “Nawe utawaambia, ‘Hili ndilo toleo linalotolewa kwa njia ya moto ambalo mtamtolea Yehova: wana-kondoo dume ambao hawana kasoro wenye umri wa mwaka mmoja, wawili kila siku wakiwa toleo la kuteketezwa daima.+
5 pamoja na sehemu ya kumi ya efa+ ya unga laini ukiwa toleo la nafaka+ lililotiwa sehemu ya nne ya hini ya mafuta yaliyopondwa;+
23 Mbali na lile toleo la kuteketezwa la asubuhi, ambalo ni kwa ajili ya toleo la kuteketezwa+ la daima,+ mtayatoa hayo.