3 “‘Ikiwa toleo lake ni toleo la kuteketezwa+ kutoka katika mifugo, atamtoa dume, asiye na kasoro.+ Atamtoa kwenye mwingilio wa hema la mkutano kwa hiari yake mwenyewe mbele za Yehova.+
4 Kisha wakafanya sherehe ya vibanda+ kulingana na yaliyoandikwa,+ na dhabihu za kuteketezwa siku kwa siku kwa hesabu kulingana na kanuni ya kile kilichotakiwa kila siku.+