Mambo ya Walawi 22:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Hakuna dhabihu yoyote iliyo na upofu au mvunjiko au mkato au chunjua au vigaga au mba,+ yeyote kati ya hao msimtolee Yehova, wala hakuna toleo lolote linalotolewa kwa njia ya moto+ kutoka kati ya hao mtakaloweka juu ya madhabahu ya Yehova. Kumbukumbu la Torati 17:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Usimtolee Yehova Mungu wako dhabihu ya ng’ombe-dume au kondoo mwenye kasoro, kitu chochote kibaya; kwa sababu ni chukizo kwa Yehova Mungu wako.+
22 Hakuna dhabihu yoyote iliyo na upofu au mvunjiko au mkato au chunjua au vigaga au mba,+ yeyote kati ya hao msimtolee Yehova, wala hakuna toleo lolote linalotolewa kwa njia ya moto+ kutoka kati ya hao mtakaloweka juu ya madhabahu ya Yehova.
17 “Usimtolee Yehova Mungu wako dhabihu ya ng’ombe-dume au kondoo mwenye kasoro, kitu chochote kibaya; kwa sababu ni chukizo kwa Yehova Mungu wako.+