3 “Nawe utawaambia, ‘Hili ndilo toleo linalotolewa kwa njia ya moto ambalo mtamtolea Yehova: wana-kondoo dume ambao hawana kasoro wenye umri wa mwaka mmoja, wawili kila siku wakiwa toleo la kuteketezwa daima.+
7 pamoja na toleo lake la kinywaji,+ sehemu ya nne ya hini kwa kila mwana-kondoo dume.+ Mimina katika mahali patakatifu lile toleo la kinywaji la kileo+ kwa Yehova.