14 Na Musa akaanza kuwa na ghadhabu kwa sababu ya wale wanaume waliowekwa rasmi wa majeshi ya vita,+ wakuu wa maelfu na wakuu wa mamia waliokuwa wakiingia kutoka katika safari hiyo ya kijeshi.
15 Basi nikawachukua vichwa vya makabila yenu, wanaume wenye hekima na uzoefu, na kuwaweka kuwa vichwa juu yenu, wakuu wa maelfu na wakuu wa mamia na wakuu wa 50 na wakuu wa makumi na maofisa wa makabila yenu.+