Hesabu 13:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Lakini wale watu waliopanda pamoja naye wakasema: “Hatuwezi kupanda kupigana na watu hao, kwa sababu ni wenye nguvu kuliko sisi.”+ Yoshua 14:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na ndugu zangu walioenda pamoja nami wakaifanya mioyo ya watu iyeyuke;+ lakini mimi nilimfuata kikamilifu Yehova Mungu wangu.+
31 Lakini wale watu waliopanda pamoja naye wakasema: “Hatuwezi kupanda kupigana na watu hao, kwa sababu ni wenye nguvu kuliko sisi.”+
8 Na ndugu zangu walioenda pamoja nami wakaifanya mioyo ya watu iyeyuke;+ lakini mimi nilimfuata kikamilifu Yehova Mungu wangu.+