9 Walipoenda kwenye bonde la mto la Eshkoli+ na kuiona nchi, ndipo walipowavunja moyo wana wa Israeli, ili wasiingie katika nchi ambayo kwa hakika Yehova angewapa.+
28 Tunapanda kwenda wapi? Ndugu zetu wameufanya moyo wetu uyeyuke,+ kwa kusema: “Tuliona huko watu wakubwa zaidi na warefu zaidi kuliko sisi,+ majiji makubwa na yaliyotiwa ngome mpaka mbinguni+ na pia wale wana wa Waanaki.”’+