27 na katika nchi tambarare ya chini Beth-haramu+ na Beth-nimra+ na Sukothi+ na Safoni, sehemu iliyobaki ya ufalme wa Sihoni mfalme wa Heshboni,+ mto Yordani ukawa mpaka hadi mwisho wa bahari ya Kinerethi+ ng’ambo ya pili ya Yordani upande wa mashariki.