30 Nanyi hamtaingia katika nchi ambayo niliinua mkono wangu katika kiapo+ ya kwamba nitakaa pamoja nanyi, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Yoshua mwana wa Nuni.+
65 Kwa maana Yehova alikuwa amesema hivi juu yao: “Lazima watakufa nyikani.”+ Kwa hiyo hakubaki mtu yeyote kati yao isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Yoshua mwana wa Nuni.+