1 Mambo ya Nyakati 23:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Basi Walawi wakahesabiwa kuanzia umri wa miaka 30 na zaidi;+ na hesabu yao, kichwa kwa kichwa, mwanamume kwa mwanamume, ikawa 38,000. Luka 3:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Tena, Yesu mwenyewe, alipoanza kazi yake,+ alikuwa na umri wa karibu miaka 30,+ akiwa mwana,+ kama alivyoonwa,wa Yosefu,+ mwana wa Heli,
3 Basi Walawi wakahesabiwa kuanzia umri wa miaka 30 na zaidi;+ na hesabu yao, kichwa kwa kichwa, mwanamume kwa mwanamume, ikawa 38,000.
23 Tena, Yesu mwenyewe, alipoanza kazi yake,+ alikuwa na umri wa karibu miaka 30,+ akiwa mwana,+ kama alivyoonwa,wa Yosefu,+ mwana wa Heli,