Mwanzo 30:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndipo Raheli akasema: “Mungu ametenda kama mwamuzi+ wangu na pia ameisikiliza sauti yangu, akanipa mwana.” Ndiyo sababu alimwita jina lake Dani.+ Mwanzo 49:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Dani na awe nyoka kando ya barabara, nyoka-bafe kando ya njia, anayeuma visigino vya farasi hivi kwamba mpandaji wake anaanguka nyuma.+
6 Ndipo Raheli akasema: “Mungu ametenda kama mwamuzi+ wangu na pia ameisikiliza sauti yangu, akanipa mwana.” Ndiyo sababu alimwita jina lake Dani.+
17 Dani na awe nyoka kando ya barabara, nyoka-bafe kando ya njia, anayeuma visigino vya farasi hivi kwamba mpandaji wake anaanguka nyuma.+