12 Na huo moto kwenye madhabahu utaendelea kuwaka juu yake. Usizimike. Naye kuhani atateketeza kuni+ juu yake asubuhi baada ya asubuhi na kuweka kwa utaratibu toleo la kuteketezwa juu yake, naye atafukiza vile vipande vyenye mafuta vya dhabihu ya ushirika juu yake.+