Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 4:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Naye Haruni na wanawe watamaliza kufunika mahali patakatifu+ na vyombo+ vyote vya mahali patakatifu wakati kambi inapoondoka, kisha wana wa Kohathi watakuja ili kuvichukua,+ lakini hawapaswi kugusa+ mahali patakatifu wasije wakafa. Vitu hivyo ni mzigo wa wana wa Kohathi katika hema la mkutano.+

  • Hesabu 4:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Huu ndio utumishi wa familia za Wagershoni unaohusu kutumikia na unaohusu uchukuzi.+

  • Hesabu 4:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Na huu ndio wajibu wao, mzigo wao,+ kulingana na utumishi wao wote katika hema la mkutano: vile viunzi vya mbao+ vya maskani na fito+ zake na nguzo+ zake na vikalio+ vyake,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki