Waroma 7:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa mfano, mwanamke aliyeolewa amefungwa na sheria kwa mume wake akiwa hai; lakini mume wake akifa, yeye amefunguliwa kutoka katika sheria ya mume wake.+ Waebrania 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndoa na iheshimiwe kati ya wote, na kitanda cha ndoa kiwe bila unajisi,+ kwa maana Mungu atawahukumu waasherati na wazinzi.+
2 Kwa mfano, mwanamke aliyeolewa amefungwa na sheria kwa mume wake akiwa hai; lakini mume wake akifa, yeye amefunguliwa kutoka katika sheria ya mume wake.+
4 Ndoa na iheshimiwe kati ya wote, na kitanda cha ndoa kiwe bila unajisi,+ kwa maana Mungu atawahukumu waasherati na wazinzi.+