62 Hao ndio wale waliotafuta kitabu chao cha kuandikisha ili kuthibitisha ukoo wao waziwazi, wakakuta hawamo, basi wakazuiwa wasiwe katika ukuhani kwa kuwa ni najisi.+
61 Na hawa ndio waliotoka Tel-mela, Tel-harsha, Kerubi, Adoni na Imeri,+ nao hawakuweza kujua nyumba ya baba zao wala uzao wao, kama walikuwa wa Israeli: