Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nawe utawaweka rasmi Haruni na wanawe, nao lazima wautunze ukuhani+ wao; na mgeni yeyote atakayekaribia atauawa.”+

  • Hesabu 16:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 kuwa ukumbusho kwa wana wa Israeli, kusudi mgeni+ yeyote ambaye si uzao wa Haruni asikaribie ili kufukiza uvumba mbele za Yehova,+ wala yeyote asiwe kama Kora na kusanyiko lake,+ kama vile Yehova alivyokuwa amesema naye kupitia Musa.

  • Hesabu 18:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na wewe na wana wako pamoja nawe mnapaswa kuulinda ukuhani wenu juu ya kila shughuli ya madhabahu na juu ya kile kilicho ndani ya pazia;+ nanyi mtatoa utumishi.+ Nitawapa ukuhani wenu kama utumishi wa zawadi, na mgeni atakayesogea karibu lazima auawe.”+

  • Nehemia 7:64
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 64 Hao ndio wale waliotafuta kitabu chao cha kuandikisha, ili kuthibitisha ukoo wao waziwazi, nacho hakikupatikana,+ basi wakazuiwa wasiwe katika ukuhani kwa kuwa walikuwa najisi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki