Mambo ya Walawi 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Naye kuhani atachukua sehemu ya toleo hilo la nafaka kuwa kumbukumbu+ lake na kuifukiza kwenye madhabahu, kuwa toleo linalotolewa kwa njia ya moto lililo na harufu ya kumtuliza Yehova.+
9 Naye kuhani atachukua sehemu ya toleo hilo la nafaka kuwa kumbukumbu+ lake na kuifukiza kwenye madhabahu, kuwa toleo linalotolewa kwa njia ya moto lililo na harufu ya kumtuliza Yehova.+