Zaburi 91:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana atawaamuru malaika zake kukuhusu wewe,+Ili kukulinda katika njia zako zote.+ Zaburi 121:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yehova mwenyewe atakulinda na misiba yote.+Atailinda nafsi yako.+ Yohana 17:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Pia, mimi simo tena ulimwenguni, bali wao wamo ulimwenguni+ nami ninakuja kwako. Baba Mtakatifu, walinde+ kwa sababu ya jina lako ambalo umenipa, ili wawe kitu kimoja kama vile sisi tulivyo.+ 1 Petro 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 mnaolindwa kwa nguvu za Mungu kupitia imani+ kwa ajili ya wokovu+ ulio tayari kufunuliwa+ katika kipindi cha mwisho cha wakati.+
11 “Pia, mimi simo tena ulimwenguni, bali wao wamo ulimwenguni+ nami ninakuja kwako. Baba Mtakatifu, walinde+ kwa sababu ya jina lako ambalo umenipa, ili wawe kitu kimoja kama vile sisi tulivyo.+
5 mnaolindwa kwa nguvu za Mungu kupitia imani+ kwa ajili ya wokovu+ ulio tayari kufunuliwa+ katika kipindi cha mwisho cha wakati.+