Kutoka 25:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Sema na wana wa Israeli, kwamba wanichukulie mchango: Kutoka kwa kila mtu ambaye moyo wake unamchochea ninyi mtauchukua mchango wangu.+ Kutoka 35:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Nao wakuu wakaleta mawe ya shohamu na mawe ya mapambo kwa ajili ya ile efodi na kile kifuko cha kifuani,+ Nehemia 7:70 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 70 Na kulikuwa na sehemu fulani ya vichwa+ vya nyumba za ukoo wa upande wa baba+ waliotoa vitu kwa ajili ya kazi.+ Huyo Tirshatha+ mwenyewe alitoa kwa ajili ya hazina drakma 1,000 za dhahabu, mabakuli 50, kanzu 530 za makuhani.+
2 “Sema na wana wa Israeli, kwamba wanichukulie mchango: Kutoka kwa kila mtu ambaye moyo wake unamchochea ninyi mtauchukua mchango wangu.+
27 Nao wakuu wakaleta mawe ya shohamu na mawe ya mapambo kwa ajili ya ile efodi na kile kifuko cha kifuani,+
70 Na kulikuwa na sehemu fulani ya vichwa+ vya nyumba za ukoo wa upande wa baba+ waliotoa vitu kwa ajili ya kazi.+ Huyo Tirshatha+ mwenyewe alitoa kwa ajili ya hazina drakma 1,000 za dhahabu, mabakuli 50, kanzu 530 za makuhani.+