Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “‘Sasa ikiwa nafsi fulani itamtolea Yehova toleo la nafaka,+ toleo lake litakuwa la unga laini;+ naye atamimina mafuta juu yake na kutia ubani juu yake.

  • Hesabu 7:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Naye akatoa toleo lake la sahani moja ya fedha, uzito wake ukiwa shekeli 130, bakuli moja la fedha la shekeli 70 kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vyote viwili vikiwa vimejaa unga laini uliotiwa mafuta kwa ajili ya toleo la nafaka;+

  • Hesabu 7:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Toleo lake lilikuwa sahani moja ya fedha, uzito wake ukiwa shekeli 130, bakuli moja la fedha la shekeli 70 kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vyote viwili vikiwa vimejaa unga laini uliotiwa mafuta kwa ajili ya toleo la nafaka;

  • Hesabu 7:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Toleo lake lilikuwa sahani moja ya fedha, uzito wake ukiwa shekeli 130, bakuli moja la fedha la shekeli 70 kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vyote viwili vikiwa vimejaa unga laini uliotiwa mafuta kwa ajili ya toleo la nafaka;+

  • Hesabu 7:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Toleo lake lilikuwa sahani moja ya fedha, uzito wake ukiwa shekeli 130, bakuli moja la fedha la shekeli 70 kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vyote viwili vikiwa vimejaa unga laini uliotiwa mafuta kwa ajili ya toleo la nafaka;+

  • Hesabu 7:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Toleo lake lilikuwa sahani moja ya fedha, uzito wake ukiwa shekeli 130, bakuli moja la fedha la shekeli 70 kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vyote viwili vikiwa vimejaa unga laini uliotiwa mafuta kwa ajili ya toleo la nafaka;+

  • Hesabu 7:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 Toleo lake lilikuwa sahani moja ya fedha, uzito wake ukiwa shekeli 130, bakuli moja la fedha la shekeli 70 kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vyote viwili vikiwa vimejaa unga laini uliotiwa mafuta kwa ajili ya toleo la nafaka;+

  • Hesabu 7:55
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 55 Toleo lake lilikuwa sahani moja ya fedha, uzito wake ukiwa shekeli 130, bakuli moja la fedha la shekeli 70 kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vyote viwili vikiwa vimejaa unga laini uliotiwa mafuta kwa ajili ya toleo la nafaka;+

  • Hesabu 7:61
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 61 Toleo lake lilikuwa sahani moja ya fedha, uzito wake ukiwa shekeli 130, bakuli moja la fedha la shekeli 70 kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vyote viwili vikiwa vimejaa unga laini uliotiwa mafuta kwa ajili ya toleo la nafaka;+

  • Hesabu 7:67
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 67 Toleo lake lilikuwa sahani moja ya fedha, uzito wake ukiwa shekeli 130, bakuli moja la fedha la shekeli 70 kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vyote viwili vikiwa vimejaa unga laini uliotiwa mafuta kwa ajili ya toleo la nafaka;+

  • Hesabu 7:73
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 73 Toleo lake lilikuwa sahani moja ya fedha, uzito wake ukiwa shekeli 130, bakuli moja la fedha la shekeli 70 kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vyote viwili vikiwa vimejaa unga laini uliotiwa mafuta kwa ajili ya toleo la nafaka;+

  • Hesabu 7:79
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 79 Toleo lake lilikuwa sahani moja ya fedha, uzito wake ukiwa shekeli 130, bakuli moja la fedha la shekeli 70 kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vyote viwili vikiwa vimejaa unga laini uliotiwa mafuta kwa ajili ya toleo la nafaka;+

  • Hesabu 7:87
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 87 ng’ombe wote kwa ajili ya toleo la kuteketezwa+ wakiwa ng’ombe-dume 12, kondoo-dume 12, wana-kondoo dume 12 kila mmoja akiwa na umri wa mwaka mmoja na matoleo yao ya nafaka,+ na wana-mbuzi 12 kwa ajili ya toleo la dhambi;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki