10 Sasa wakuu wakatoa toleo lao wakati wa kuzinduliwa+ kwa madhabahu katika siku ya kutiwa kwake mafuta, nao wakuu wakatoa toleo lao mbele ya madhabahu.
84 Hili ndilo lililokuwa toleo la kuzindua+ madhabahu katika siku ya kutiwa kwake mafuta, kwa upande wa wakuu+ wa Israeli: sahani 12 za fedha, mabakuli+ 12 ya fedha, vikombe 12 vya dhahabu;