24 “Sema na wana wa Israeli, na kuwaambia, ‘Katika mwezi wa saba,+ siku ya kwanza ya mwezi huo, mtakuwa na pumziko kamili, ukumbusho kwa kupiga tarumbeta,+ mkusanyiko mtakatifu.+
9 Nawe utafanya baragumu ya sauti+ kubwa ivume katika mwezi wa saba siku ya kumi ya mwezi huo;+ katika siku ya upatanisho+ mtaifanya baragumu hiyo ivume katika nchi yenu yote.