33 aliyekuwa akienda mbele yenu njiani ili kupeleleza mahali kwa ajili yenu ili mpige kambi,+ kwa moto wakati wa usiku ili mwione njia mnayopaswa kuitembea na kwa wingu wakati wa mchana.+
3 wakawaamuru watu, wakisema: “Mara mtakapoliona sanduku la agano la Yehova Mungu wenu, na makuhani Walawi wakiwa wamelichukua,+ ndipo mtakapoondoka mahali penu, nanyi mlifuate,
4 —ila mwache kuwe na umbali wa karibu kipimo cha mikono elfu mbili kati yenu na sanduku hilo;+ msilikaribie—ili mpate kuijua njia mnayopaswa kutembea, kwa maana hamjapata kuipita njia hiyo hapo mbeleni.”