Kutoka 16:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi ikawa kwamba wakati wa jioni kware+ wakaanza kuja na kuifunika kambi, na asubuhi kulikuwa kumetokea utando wa umande kuizunguka kambi.+ Zaburi 78:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Naye akawanyeshea chakula kama mavumbi,+Hata viumbe vinavyoruka vyenye mabawa kama chembe za mchanga wa bahari.+ Zaburi 105:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Waliomba, naye akaleta kware,+Na kwa mkate kutoka mbinguni akaendelea kuwashibisha.+
13 Basi ikawa kwamba wakati wa jioni kware+ wakaanza kuja na kuifunika kambi, na asubuhi kulikuwa kumetokea utando wa umande kuizunguka kambi.+
27 Naye akawanyeshea chakula kama mavumbi,+Hata viumbe vinavyoruka vyenye mabawa kama chembe za mchanga wa bahari.+