Hesabu 33:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kisha wakaondoka Kibroth-hataava, wakapiga kambi Haserothi.+ Kumbukumbu la Torati 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Haya ndiyo maneno ambayo Musa aliwaambia Israeli wote katika eneo la Yordani+ nyikani, katika nchi tambarare za jangwa mbele ya Sufi, katikati ya Parani+ na Tofeli na Labani na Haserothi+ na Dizahabu,
1 Haya ndiyo maneno ambayo Musa aliwaambia Israeli wote katika eneo la Yordani+ nyikani, katika nchi tambarare za jangwa mbele ya Sufi, katikati ya Parani+ na Tofeli na Labani na Haserothi+ na Dizahabu,