3 Na kwa nini Yehova anatuleta kwenye nchi hii ili tuanguke kwa upanga?+ Wake zetu na watoto wetu wadogo watakuwa nyara.+ Je, si afadhali kwetu turudi Misri?”+
39 Nao watoto wenu ambao mlisema hivi juu yao: “Watakuwa nyara!”+ na wana wenu ambao leo hawajui jema wala baya, hao wataingia humo, nami nitawapa hiyo, nao wataimiliki.