9 Kisha akasema: “Ikiwa, sasa, nimepata kibali machoni pako, Ee Yehova, tafadhali, Yehova na aende pamoja nasi katikati yetu,+ kwa sababu ni watu wenye shingo ngumu,+ nawe utusamehe kosa letu na dhambi yetu,+ nawe utuchukue tuwe mali yako.”+
30 Kwa maana katika siku hii upatanisho+ utafanywa kwa ajili yenu ili kuwatangaza kuwa safi. Mtakuwa safi kutokana na dhambi zenu zote mbele za Yehova.+