Mwanzo 17:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nami nitakupa wewe na uzao wako baada yako ile nchi ya makao yako ya kigeni,+ naam, nchi yote ya Kanaani, ili kuimiliki hata wakati usio na kipimo; nami nitajionyesha mwenyewe kuwa Mungu kwao.”+ Kutoka 29:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Nami nitakaa katikati ya wana wa Israeli, nami nitakuwa Mungu wao.+ Mambo ya Walawi 25:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Mimi ni Yehova Mungu wenu, aliyewatoa ninyi katika nchi ya Misri ili kuwapa nchi ya Kanaani,+ ili nijionyeshe kuwa Mungu wenu.+
8 Nami nitakupa wewe na uzao wako baada yako ile nchi ya makao yako ya kigeni,+ naam, nchi yote ya Kanaani, ili kuimiliki hata wakati usio na kipimo; nami nitajionyesha mwenyewe kuwa Mungu kwao.”+
38 Mimi ni Yehova Mungu wenu, aliyewatoa ninyi katika nchi ya Misri ili kuwapa nchi ya Kanaani,+ ili nijionyeshe kuwa Mungu wenu.+