15 Hata hivyo, kulipopambazuka, malaika wakamhimiza Loti, wakisema: “Simama! Mchukue mke wako na binti zako wawili walio hapa,+ usije ukafagiliwa mbali katika makosa ya jiji hili!”+
4 Nami nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni ikisema: “Tokeni kwake, watu wangu,+ ikiwa hamtaki kushiriki pamoja naye dhambi zake,+ na ikiwa hamtaki kupokea sehemu ya mapigo yake.