Kutoka 29:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Naye Haruni na wanawe wataila+ nyama ya kondoo huyo na mkate ulio katika kikapu kwenye mlango wa hema la mkutano. Mambo ya Walawi 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na ule unaobaki, Haruni na wanawe wataula.+ Utaliwa kama keki zisizo na chachu+ katika mahali patakatifu. Wataula kwenye ua wa hema la mkutano. Mambo ya Walawi 10:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nanyi mtakula katika mahali patakatifu,+ kwa maana ndilo posho lenu na posho la wana wenu kutoka kwa matoleo ya Yehova yanayotolewa kwa njia ya moto; kwa maana hivyo ndivyo nimeamriwa.
32 Naye Haruni na wanawe wataila+ nyama ya kondoo huyo na mkate ulio katika kikapu kwenye mlango wa hema la mkutano.
16 Na ule unaobaki, Haruni na wanawe wataula.+ Utaliwa kama keki zisizo na chachu+ katika mahali patakatifu. Wataula kwenye ua wa hema la mkutano.
13 Nanyi mtakula katika mahali patakatifu,+ kwa maana ndilo posho lenu na posho la wana wenu kutoka kwa matoleo ya Yehova yanayotolewa kwa njia ya moto; kwa maana hivyo ndivyo nimeamriwa.