Mambo ya Walawi 6:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kuhani ambaye hutoa toleo hilo kwa ajili ya dhambi atalila.+ Katika mahali patakatifu+ litaliwa katika ua+ wa hema la mkutano. Hesabu 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Utakula katika mahali patakatifu zaidi.+ Kila mwanamume atakula.+ Kitakuwa kitu kitakatifu kwako.+
26 Kuhani ambaye hutoa toleo hilo kwa ajili ya dhambi atalila.+ Katika mahali patakatifu+ litaliwa katika ua+ wa hema la mkutano.
10 Utakula katika mahali patakatifu zaidi.+ Kila mwanamume atakula.+ Kitakuwa kitu kitakatifu kwako.+