13 Naye atamchinja yule mwana-kondoo dume mahali+ ambapo lile toleo la dhambi na toleo la kuteketezwa huchinjiwa kwa kawaida, katika mahali patakatifu,+ kwa sababu, kama vile toleo la dhambi, vivyo hivyo toleo la hatia ni la kuhani.+ Ni kitu kitakatifu zaidi.