3 Na kilichobaki kutokana na lile toleo la nafaka ni cha Haruni na wanawe,+ kama kitu kitakatifu+ zaidi kutoka katika matoleo ya Yehova yanayotolewa kwa njia ya moto.
7 Kama toleo la dhambi lilivyo, ndivyo na toleo la hatia lilivyo. Kuna sheria moja kwa matoleo hayo.+ Litakuwa la kuhani ambaye atafanya upatanisho kwa toleo hilo.
13 Je, hamjui kwamba watu wanaofanya kazi takatifu hula+ vitu vya hekalu, na wale wanaohudumu+ daima kwenye madhabahu hupata fungu lao wenyewe pamoja na madhabahu?