14 Na uzao wako utakuwa kama chembe za mavumbi ya dunia,+ nawe hakika utaenea kotekote upande wa magharibi na wa mashariki na wa kaskazini na wa kusini,+ na kupitia kwako na kupitia kwa uzao wako familia zote za nchi hakika zitajibariki.+
20 “Wakati ambapo Yehova Mungu wako atalipanua eneo lako,+ kama vile ambavyo amekuahidi,+ nawe hakika utasema, ‘Acha nile nyama,’ kwa sababu nafsi yako inatamani kula nyama, wakati wowote ambapo nafsi yako inatamani unaweza kula nyama.+