Zaburi 26:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nitaiosha mikono yangu katika kutokuwa na hatia,+Nami nitatembea nikizunguka madhabahu yako, Ee Yehova,+ Mathayo 27:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Alipoona kwamba haikufaidi kitu bali, badala yake, ghasia zilikuwa zikitokea, Pilato alichukua maji+ na kunawa mikono yake mbele ya ule umati, akisema: “Mimi sina hatia ya damu ya mtu huyu. Shauri yenu.”
6 Nitaiosha mikono yangu katika kutokuwa na hatia,+Nami nitatembea nikizunguka madhabahu yako, Ee Yehova,+
24 Alipoona kwamba haikufaidi kitu bali, badala yake, ghasia zilikuwa zikitokea, Pilato alichukua maji+ na kunawa mikono yake mbele ya ule umati, akisema: “Mimi sina hatia ya damu ya mtu huyu. Shauri yenu.”