-
Kumbukumbu la Torati 13:5Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 Na nabii+ huyo au mwotaji huyo wa ndoto atauawa,+ kwa sababu amesema maasi juu ya Yehova Mungu wenu, ambaye aliwatoa ninyi katika nchi ya Misri na amekukomboa kutoka katika nyumba ya watumwa, ili kukugeuza kutoka katika njia ambayo Yehova Mungu wako amekuamuru kuitembea;+ nawe utaondolea mbali kilicho kiovu kutoka katikati yako.+
-
-
2 Samweli 7:23Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
23 Na kuna taifa gani moja duniani lililo kama watu wako Israeli,+ ambao Mungu alikwenda kujikombolea mwenyewe wawe kikundi cha watu+ wake na kujipa jina+ na kuwafanyia mambo makubwa na yenye kuogopesha+—kufukuza mataifa na miungu yao kwa ajili ya watu wako, ambao umejikombolea+ mwenyewe kutoka Misri?
-