29 Naye akamtundika mfalme wa Ai+ juu ya mti mpaka jioni;+ na jua lilipokaribia kutua, Yoshua akatoa amri nao wakachukua maiti yake+ kutoka mtini na kuitupa kwenye mwingilio wa lango la jiji nao wakaweka rundo kubwa la mawe juu yake, mpaka leo hii.
31 Basi Wayahudi, kwa kuwa yalikuwa ni Matayarisho,+ ili miili hiyo isipate kukaa+ juu ya miti ya mateso siku ya Sabato, (kwa maana siku ya Sabato hiyo ilikuwa kuu,)+ wakamwomba Pilato aagize miguu yao ivunjwe na miili iondolewe.